forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
753 B
Markdown
32 lines
753 B
Markdown
|
# Yoabu akapigana... akaukamata
|
||
|
|
||
|
Hapa mwandishi anasema "Yoabu" lakini anarejerea kwa Yoabu na askari waliopigana pamoja naye.
|
||
|
|
||
|
# Raba
|
||
|
|
||
|
Kupigana dhidi ya mji hu, halisia inamaanisha kupigana dhidi ya watu wa Raba.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi na kusema
|
||
|
|
||
|
"Hivyo Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi kumwambia"
|
||
|
|
||
|
# Wamechukua sehemu ya kusambaza maji mjini
|
||
|
|
||
|
"Kukamata" eneo inamaanisha kuchukua umilki.
|
||
|
|
||
|
# Kupiga kambi kinyume
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuzunguka na kushambulia.
|
||
|
|
||
|
# Nimepigana... nimekamata... ikiwa nitachukua
|
||
|
|
||
|
Hapa Yoabu anajisemea mwenyewe wakati halisia anarejerea kwake na askari wake.
|
||
|
|
||
|
# Uchukue... chukua mji
|
||
|
|
||
|
"Kuchukua" eneo inamaanisha kuchukua umilki.
|
||
|
|
||
|
# Utaitwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. Yaani "watu watauita"
|