forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
434 B
Markdown
16 lines
434 B
Markdown
|
# Je hamjui kwamba mtu mkuu ameanguka leo hii katika Israeli?
|
||
|
|
||
|
Swali hili lisilodai jibu limetumika kuonesha jinsi Daudi alivyomweshimu Abneri. Hapa "kuanguka"ni neno linalomaanisha "kifo". Inaweza kutafsiriwa kama taarifa. Yaani: Ni wazi kwamba mtu mkuu amekufa leo katika Israeli!"
|
||
|
|
||
|
# mwana mfalme na mtu mkuu
|
||
|
|
||
|
Vifungu hivi viwili vyote vinamrejerea Abneri.
|
||
|
|
||
|
# Neri...Seruya
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# ukatili
|
||
|
|
||
|
"bila huruma"
|