forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
426 B
Markdown
20 lines
426 B
Markdown
|
# BWANA akaisikiliza sauti ya Eliya
|
||
|
|
||
|
"BWANA akajibu maombi ya Eliya"
|
||
|
|
||
|
# uhai wa mtoto ukamrudia, na akawa hai.
|
||
|
|
||
|
"mtoto akarudia uhai wake"
|
||
|
|
||
|
# chumbani kwake
|
||
|
|
||
|
"kwake" Eliya
|
||
|
|
||
|
# Tazama, mwanao yuko hai
|
||
|
|
||
|
Neno "Tazama" linatuandaa kuwa makinii kwa taarfa ambazo ziinafuata.
|
||
|
|
||
|
# Neno la BWANA kinywani mwako ni la kweli
|
||
|
|
||
|
"Neno" linawakilisha ujumbe. Pia "kinywani" linamaanishsa kile Eliya alichosema kutoka kwa BWANA ni cha ukweli"
|