forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
520 B
Markdown
20 lines
520 B
Markdown
|
# hodari na mjasiri
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili yanamanisha kitu kimoja na kukazia kuwa Sulemani lazima awe shujaa.
|
||
|
|
||
|
# Usiogope au kuwa na wasiwasi
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili yanamanisha kitu kimoja na kukazia kuwa Sulemani lazima asikate tamaa. "Kuwa hodari" au "Kuwa Mjasiri"
|
||
|
|
||
|
# yupo nawe
|
||
|
|
||
|
"nitakusaidia wewe"
|
||
|
|
||
|
# Hatakuacha wala kukutelekeza
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili yanamanisha kitu kimoja na kukazia kuwa Yahweh ata kuwa daima na Sulemani. "Ata kuwa nawe daima"
|
||
|
|
||
|
# hivi ni vitengo vya makuhani na Walawi
|
||
|
|
||
|
Ona jinsi ulivyo tafsiri 28:13
|