forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
427 B
Markdown
20 lines
427 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla:
|
||
|
|
||
|
Daudi anaendelea kuongea na Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# mfalme wa Israeli milele
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi na uzao wake utatawala milele au 2)Daudi ataendelea kuwa mfalme wa Israeli baada ya kufufuka kutoka wafu.
|
||
|
|
||
|
# Israeli yote
|
||
|
|
||
|
"ardhi yote ya Israeli'' au "Waisraeli wote"
|
||
|
|
||
|
# kuketi katika kiti cha enzi
|
||
|
|
||
|
"kutawala" au "kuwa mfalme wa"
|
||
|
|
||
|
# ufalme wa Yahweh, juu ya Israeli
|
||
|
|
||
|
"Israeli ambayo ni ufalme wa Yahweh"
|