forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
546 B
Markdown
24 lines
546 B
Markdown
|
# akainuka kwa miguu yake
|
||
|
|
||
|
"alisimama juu"
|
||
|
|
||
|
# kaka yangu na watu wangu
|
||
|
|
||
|
Mistari hii miwili inashiriki maana moja na kuweka mkazo kuwa Daudi na watu wa Israeli ni ndugu.
|
||
|
|
||
|
# sanduku la agano la Yahweh;stuli ya miguu kwa ajili ya Mungu wetu
|
||
|
|
||
|
Mstari wa pili unaelezea mstari wa kwanza. Yahweh mara nyingi inaelezea "sanduku la agano" kama "stuli yake ya miguu."
|
||
|
|
||
|
# hekalu kwa jina langu
|
||
|
|
||
|
"hekalu kwa ajili yangu"
|
||
|
|
||
|
# mwanaume wa vita na umemwaga damu
|
||
|
|
||
|
Maelezo yote yanahamasisha kitu kimoja , kwamba Daudi aliuwa watu.
|
||
|
|
||
|
# umemwaga damu
|
||
|
|
||
|
"aliuwa watu"
|