forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
720 B
Markdown
36 lines
720 B
Markdown
|
# wenu ... nanyi
|
||
|
|
||
|
Yaeleza wingi 22:18-19
|
||
|
|
||
|
# amewapa amani kila pande
|
||
|
|
||
|
"amewaopa amani kutoka vitani kila sehemu ya Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Amewakabidhi mikononi mwangu wenyeji wote mkoa
|
||
|
|
||
|
"Amenipa nguvu juu ya kila mtu anayeishi kwetu"
|
||
|
|
||
|
# Mkoa umetiishwa mbele za Yahweh na watu wake
|
||
|
|
||
|
"Yahweh na watu wake wanatawala nchi"
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Hili neno la tambulisha kitu muhimu Daudi anachoenda kusema.
|
||
|
|
||
|
# mtafuteni Yahweh Mungu wenu
|
||
|
|
||
|
"jaribu kumfanya Yahweh Mungu wenu kuwasikiliza"
|
||
|
|
||
|
# kwa moyo wenu wote na nafsi
|
||
|
|
||
|
"kwa dhati" au "moyo wote"
|
||
|
|
||
|
# Simameni na mjenge sehemu takatifu
|
||
|
|
||
|
"Simameni na muwaelekeze wafanya kazi wanapo jenga sehemu takatifu"
|
||
|
|
||
|
# nyumba iliyo jengwa kwa ajili ya jina la Yahweh
|
||
|
|
||
|
"hekalu utakalo jenga kumheshimu Yahweh"
|