forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
535 B
Markdown
24 lines
535 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Daudi anaendelea kumuambia Sulemani kile Yahweh alicho mwambia.
|
||
|
|
||
|
# kila upande
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kila sehemu kuzunguka Israeli.
|
||
|
|
||
|
# katika siku zake
|
||
|
|
||
|
"wakati akitawala Israeli yote"
|
||
|
|
||
|
# nyumba kwa jina langu, na nitakuwa baba yake
|
||
|
|
||
|
"hekalu la kunitukuza"
|
||
|
|
||
|
# Ata kuwa mwana wangu
|
||
|
|
||
|
Mungu ata mtendea Sulemani kama alikuwa ni mwanae wa pekee.
|
||
|
|
||
|
# Nitaimarisha kiti cha enzi cha ufalme wake juu ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Hapa "kiti cha enzi" cha husu mamlaka ya kutawala kama mfalme. "Nitafanya uzao wake utawale juu ya Israeli milele"
|