forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
852 B
Markdown
28 lines
852 B
Markdown
|
# akasema
|
||
|
|
||
|
"Daudi akasema"
|
||
|
|
||
|
# Mimi ni nani, Yahweh Mungu, na familia yangu ni nini, hadi unilete umbali huu?
|
||
|
|
||
|
Daudi anauliza ili swali kuonyesha shukurani kuwa Mungu amemchagua kumbariki ata kama hastahili.
|
||
|
|
||
|
# Hili lilikuwa jambo dogo
|
||
|
|
||
|
Kitu kisicho cha muhimu cha elezwa kuwa kidogo.
|
||
|
|
||
|
# machoni pako
|
||
|
|
||
|
Machoni pa Yahweh ya husishwa na ufahamu wake.
|
||
|
|
||
|
# Nini zaidi mimi, Daudi, niseme?
|
||
|
|
||
|
Daudi anatumia hili swali kuonyesha kuwa hawezi kueleza kabisa shukrani zake kwa Mungu. "Kama ningeweza sema zaidi kuonyesha shukurani zangu kisha ningefanya lakini sijui nini tena niseme"
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Daudi anaeleza kuwa yeye ni mtumishi wa Yahweh.
|
||
|
|
||
|
# Umemheshimu mtumishi wako. Umemtambua kwa kipekee mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Maneno yote mawili yana maana moja. Kama lugha yako ina maana moja ya kueleza "heshima" na "utambuzi" kisha hii yaweza tafsiriwa kama neno moja.
|