forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
591 B
Markdown
12 lines
591 B
Markdown
|
# je hapana mtu wa kufikisha mkono wake kuomba msaada wakati anapoanguka? Je mtu mwenye shida hawezi kuomba msaada?
|
||
|
|
||
|
1) "Niliwasaidia watu ambao walianguka wakati waliponiomba msaada . Niliwasaidia waliokuwa na taabu walipoomba msaada". au 2) "Nimeanguka na Mungu hapaswi kuona kama ninakosea ninapoomba msaada wake. Niko kwenye shida, naomba msaada!"
|
||
|
|
||
|
# Je sikulia...shida? Je sikusononeka...mtu?
|
||
|
|
||
|
"Unajua kwamba nililia ...shida, na nilisononeka ...mtu!"
|
||
|
|
||
|
# Nilisubiri mwanga ...giza likaja
|
||
|
|
||
|
Hapa "mwanga" unawakilisha baraka na kibali cha Mungu na "giza" linawakilisha shida na mateso.
|