forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
906 B
Markdown
40 lines
906 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe ananena na Ezekieli.
|
||
|
|
||
|
# mwana wa adamu
|
||
|
|
||
|
"mwana wa mwanadamu"
|
||
|
|
||
|
# gumia kama kuvunjika kwa viuno vyako
|
||
|
|
||
|
Yahwe anamwambia Ezekieli kugugumia kama ishara ya kuusindikiza ujumbe wake. Anamwambia kugugumia kwa kina kana kwamba tumbo lake lilikuwa kwenye maumivu makubwa sana.
|
||
|
|
||
|
# Katika uchungu wa gumia
|
||
|
|
||
|
"Kwa huzuni kubwa"
|
||
|
|
||
|
# mbele ya macho yao
|
||
|
|
||
|
Hapa Waisraeli wanarejelewa kwa "macho" yao kusisitiza kile wakionacho. "mbele yao" au "mbele ya watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# ile habari inayokuja
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia "habari" kana kwamba ilikuwa mtu ambaye alikuwa akija kwao punde.
|
||
|
|
||
|
# kwa kila moyo utakaozimia
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia watu kuogopa kana kwamba mioyo yao ilikuwa ikizimia.
|
||
|
|
||
|
# utasita
|
||
|
|
||
|
"utakuwa dhaifu"
|
||
|
|
||
|
# Kila roho itazimia
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia watu kuwa na hofu katika roho zao kana kwamba roho zao zilitaka kuzimia.
|
||
|
|
||
|
# kila goti litatiririka kama maji
|
||
|
|
||
|
"kila goti litakuwa dhaifu kama maji"
|