forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
408 B
Markdown
16 lines
408 B
Markdown
|
# anashikilia wote wanaoanguka ... anawainua wote walioinama
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwatia moyo watu kana kwamba alikuwa akiwasaidia watu waliokuwa wandhaifu kimwili. "huwatia moyo wale walio kata tamaa"
|
||
|
|
||
|
# Macho ya wote yanasubiri
|
||
|
|
||
|
"Kila mtu anasubiri"
|
||
|
|
||
|
# Unafungua mkono wako
|
||
|
|
||
|
"Unatoa kwa ukarimu"
|
||
|
|
||
|
# kuridhisha hamu za kila kiumbe hai
|
||
|
|
||
|
"unampa kila mtu zaidi ya anachohitaji na kiasi anachotaka"
|