forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
332 B
Markdown
16 lines
332 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Elihu anazidi kuzungumza
|
||
|
|
||
|
# Ni mtu gani aliye kama Ayubu
|
||
|
|
||
|
Elihu anatumia swali hili kumkaripia Ayubu. " Hakuna mwingine zaidi kama Ayubu"
|
||
|
|
||
|
# ambaye hunywa dharau kama maji
|
||
|
|
||
|
Elihu anamshitaki Ayubu kwa kufurahia kuwadharau watu wengine.
|
||
|
|
||
|
# ambaye hutembea pamoja na watu waovu
|
||
|
|
||
|
"ambaye anaenenda kama watu waovu"
|