forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
791 B
Markdown
24 lines
791 B
Markdown
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ayubu anabadilisha mazungumzo yake kutoka kufa mpaka uzima baada ya kifo.
|
||
|
|
||
|
# Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
|
||
|
|
||
|
Ayubu anatumia usambamba kusisitiza kuwa wanyonge watapata pumziko kutoka kwa wale walio wasababishia magumu.
|
||
|
|
||
|
# Huko waovu huacha kusumbua
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaongea kuhusu sehemu ambayo watu huenda baada ya wao kuacha kuishi. "Katika sehemu hiyo, watu waovu huacha kusumbua"
|
||
|
|
||
|
# sauti ya msimamizi wa watumwa
|
||
|
|
||
|
Hapa "sauti" ni mfano wa nguvu ambayo msimamizi wa watumwa anakuwa nayo juu ya watumwa. "Hawako tena chini ya udhibiti wa watumwa"
|
||
|
|
||
|
# wadogo na watu maarufu
|
||
|
|
||
|
Hii ni tamathali ya usemi ambayo humaanisha "watu wote, watu masikini na watu matajiri."
|
||
|
|
||
|
# mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
|
||
|
|
||
|
Mtumishi hana wajibu wa kumtumikia bwana wake.
|