forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
848 B
Markdown
28 lines
848 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Isaya anaendelea kuzungumza
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo ali
|
||
|
|
||
|
"Kwa hiyo Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# alimwaga ghadhabu yake kali dhidi yao
|
||
|
|
||
|
Isaya anazungumzia ghadhabu ya Yahwe kana kwamba ilikuwa kimiminikio ambacho kinaweza kumwagwa nje. "alionyesha ghadhabu yake kali kuwaelekea wao"
|
||
|
|
||
|
# dhidi yao
|
||
|
|
||
|
"dhidi yetu". Hapa "yao" ina maana ya watu wa Israelii, lakini Isaya bado anajumlisha mwenyewe kama sehemu ya watu.
|
||
|
|
||
|
# kwa uharibifu wa vita
|
||
|
|
||
|
Neno "uharibifu" linaweza kutafsiriwa kwa kitenzi. "kwa kuwaharibu wao kwa vita"
|
||
|
|
||
|
# Uliwaka kuwazunguka ... ukawaunguza
|
||
|
|
||
|
Isaya anazungumzia ghadhabu kali ya Yahwe kana kwamba ilikuwa moto ambao uliwachoma watu.
|
||
|
|
||
|
# hawakuliweka moyoni
|
||
|
|
||
|
Kuzingatia kwa makini kwa jambo na kujifunza kwake inazungumziwa kana kwamba walikuwa wakiweka jambo hilo juu ya moyo wa mtu. "hawakuzingatia kwa makini" au "hawakujifunza kutoka kwake"
|