forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
696 B
Markdown
28 lines
696 B
Markdown
|
# Bwana Yahwe asema hivi
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 5:5.
|
||
|
|
||
|
# hirizi
|
||
|
|
||
|
vitu ambavyo vinavyoaminika vina nguvu ya muujiza
|
||
|
|
||
|
# kukamata
|
||
|
|
||
|
"kukamata"
|
||
|
|
||
|
# kuyakamata kwa hila maisha ya watu kana kwamba wamekuwa ndege ... watu ambao umewakamata kama ndege
|
||
|
|
||
|
Yahwe analinganisha mapambo ya unabii kukamata kwa ajili ya ndege.
|
||
|
|
||
|
# nitazichana kutoka kwenye mikono yenu
|
||
|
|
||
|
Neno "mikono" inarejea inakuja kutawaliwa na unabii. Waongo watatumia utawala wa watu wa Israeli ni kama mikono ambayo imewakamata kurudi kutokana na kukimbia.
|
||
|
|
||
|
# havitakamatwa tena katika mikono wako
|
||
|
|
||
|
Kusema hawatakamatwa ni sawa kama kusema watakuwa huru.
|
||
|
|
||
|
# kujua kwamba mimi ndimi Yahwe
|
||
|
|
||
|
"kujua kwamba mimi ndimi Yahwe, Mungu wa kweli"
|