forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
814 B
Markdown
32 lines
814 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe ananena na watu wa Israeli na kurudia maneno katika njia tofauti tofauti kueleza jinsi walivyo wakweli.
|
||
|
|
||
|
# mmekuwa na maono ya uongo na kuwaambia uongo
|
||
|
|
||
|
"mmedanganya kuhusu kuwa na jumbe kutoka kwa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Tangazo la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 5:11.
|
||
|
|
||
|
# Mkono wangu utakuwa juu ya manabii
|
||
|
|
||
|
Neno "mkono" mara nyingi limetumika katika njia tafauti tofauti kwa uweza wa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# mliodanganya maono na wale waliofanya unabii wa uongo
|
||
|
|
||
|
"aliye na jumbe kutoka kwa Mungu lakini anadanganya"
|
||
|
|
||
|
# katika kusanyiko la watu wangu, au kuandikishwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
"walio orodheshwa kama watu wangu" Hii ni njia mbili kueleza jambo moja."
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 3:1.
|
||
|
|
||
|
# mtajua yakwamba mimi ndimi Bwana Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 6:6.
|