forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
468 B
Markdown
16 lines
468 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli; baraka ni shairi fupi. Anaendelea kuelezea kabila la Gadi kama mtu mmoja, ambalo alianza kufanya katika 33:20.
|
||
|
|
||
|
# fungu la kiongozi
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kipande kikubwa cha ardhi ambacho kiongozi mara nyingi alichukua.
|
||
|
|
||
|
# Alikuja na vichwa vya watu
|
||
|
|
||
|
"Walikutana na viongozi wote wa Waisraeli"
|
||
|
|
||
|
# Alitekeleza haki ya Yahwe na maagizo yake pamoja na Israeli
|
||
|
|
||
|
"Walitii yote ambayo Yahwe aliwaamuru Waisraeli"
|