forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
491 B
Markdown
24 lines
491 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kubariki kabila za Israeli, ambapo alianza kufanya katika 33:1; baraka ni shairi fupi.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Mstari wa 5 ni mgumu kuelewa.
|
||
|
|
||
|
# pakawa na mfalme
|
||
|
|
||
|
"Yahwe akawa mfalme"
|
||
|
|
||
|
# Yeshurumu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine la Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Ruhusu Rubeni aishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaanza baraka za Musa kwa kabila binafsi za Israeli.
|
||
|
|
||
|
# lakini wanaume wake wawe wachache
|
||
|
|
||
|
Maana zingine zaweza kuwa 1) "na wanamume wake wawe wachache" au 2) "hata kama wanamume wake ni wachache"
|