forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
1.4 KiB
Markdown
29 lines
1.4 KiB
Markdown
|
# Warumi 03 Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
### Muundo na upangiliaji
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi kwenye upande wa kulia zaidi ya maandiko yote ili iwe rahisi kusoma. ULB inafanya hili kwa mistari ya 4 na 10-18 ya sura hii, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
### Dhana maalum katika sura hii
|
||
|
|
||
|
Sura ya 3 hujibu swali hili, "Ni faida gani kuwa Myahudi dhidi ya kutokuwa Myahudi?" (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/save)
|
||
|
|
||
|
#### "Kwa maana wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu"
|
||
|
|
||
|
Kwa sababu Mungu ni mtakatifu, yeyote aliye pamoja naye mbinguni lazima awe mkamilifu. Dhambi lolote litamhukumu mtu. (See: rc://en/tw/dict/bible/kt/heaven]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/condemn)
|
||
|
|
||
|
#### Kusudi la sheria ya Musa
|
||
|
|
||
|
Kutii sheria haiwezi kumfanya mtu awe na haki kwa Mungu. Kutii sheria ya Mungu ni njia ambayo mtu anaonyesha kuwa anamwamini Mungu. Watu daima wamekuwa wenye haki kwa imani tu.
|
||
|
|
||
|
### Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
|
||
|
|
||
|
#### Maswali ya uhuishaji
|
||
|
|
||
|
Mara kwa mara Paulo hutumia maswali ya uhuishaji katika sura hii. Inaonekana nia ya maswali haya ya uhuishaji ni kumfanya msomaji kuona dhambi zake ili atamtegemee Yesu. (See: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion]] and [[rc://en/tw/dict/bible/kt/guilt)
|
||
|
|
||
|
## Links:
|
||
|
|
||
|
* __[Romans 03:01 Notes](./01.md)__
|
||
|
|
||
|
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__
|