forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.1 KiB
Markdown
32 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganisha
|
||
|
|
||
|
Petro anaendelea na hoja yake kwa Wayahudi aliyoianza
|
||
|
|
||
|
# sikieni maneno haya
|
||
|
|
||
|
"Sikilizeni kwa yale ninayotaka kuwaambia"
|
||
|
|
||
|
# aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa matendo ya uweza na maajabu, na ishara
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha Mungu anathibitisha kuwa alimchagua Yesu kwa huduma yake ya kudhihirisha matendo makuu ya miujiza.
|
||
|
|
||
|
# mwanadamu aliyethibitishwa na Mungu kwenu
|
||
|
|
||
|
"Mtu ambaye Mungu alimdhibitisha kwenu"
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu ya mpango uliokusudiwa tangu mwanzo, na maarifa ya Mungu
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kuwa, Mungu alipanga na kujua tangu zamani kwamba yangetokea nyakati za Yesu
|
||
|
|
||
|
# ambaye Mungu alimwinua
|
||
|
|
||
|
Maana yaweza kuwa: 1) "Mlimtia Yesu katika mikono ya maadui" au 2) Yuda alimsaliti Yesu kwenu"
|
||
|
|
||
|
# kwa mikono ya watu wahalifu, mlimsulibisha na kumuua
|
||
|
|
||
|
Ingawa watu wahalifu kweli walimsulibisha Yesu, hapa Petro anawashitaki kundi lote kwa kumwua kwasababu walikuwa wamekusudia Yesu auawe.
|
||
|
|
||
|
# akauondoa uchungu wa mauti kwake, kwasababu haikuwezekana kwake kumilikiwa na huo.
|
||
|
|
||
|
etro anazungumzia kifo kama mfano wa binadamu anayeshikilia wafungwa hara kusababisha mateso makali.
|