forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
841 B
Markdown
40 lines
841 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Yohana anawaonya kuhusu wazushi, na kuwakumbusha kubaki katika mafundisho ya Kristo na kujiepusha na waasi
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu.
|
||
|
|
||
|
"Walimu wengi wa uongo wamekwisha liacha kusanyiko" au " wadanganyifu wengi wapo ulimwenguni"
|
||
|
|
||
|
# wadanganyifu wengi.
|
||
|
|
||
|
"walimu wengi wa uongo" au "wazushi"
|
||
|
|
||
|
# katika ulimwengu
|
||
|
|
||
|
Hapa inaelezea kila mtu aliyeko hai katika ulimwengu huu.
|
||
|
|
||
|
# Yesu Kristo alikuja katika mwili.
|
||
|
|
||
|
"Yesu alikuja katika hali ya mwili wa kibinadamu."
|
||
|
|
||
|
# Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo
|
||
|
|
||
|
" Ni wale wanaowadanganya wengine na kumpinga Kristo mwenyewe"
|
||
|
|
||
|
# mpinga Kristo.
|
||
|
|
||
|
" kinyume na Kristo"
|
||
|
|
||
|
# Jiangalieni wenyewe.
|
||
|
|
||
|
"Iweni macho" au " iweni waangalifu."
|
||
|
|
||
|
# hampotezi mambo
|
||
|
|
||
|
"kutopoteza tuzo zenu za wakati ujao kule mbinguni."
|
||
|
|
||
|
# tuzo kamili
|
||
|
|
||
|
"tuzokamili kule mbinguni"
|