forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
418 B
Markdown
16 lines
418 B
Markdown
|
# Kauli Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Yesu anaendelea kutoa salamu zake za kufunga.
|
||
|
|
||
|
# wale waoshao mavazi yao
|
||
|
|
||
|
Kuwa mtakatifu inazungumziwa kama mtu kuosha nguo zake. "wale waliokuwa watakatifu, kana kwamba wameosha mavazi yao"
|
||
|
|
||
|
# Nje
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha wako nje ya mji na hawaruhusiwi kuingia.
|
||
|
|
||
|
# kuna mbwa
|
||
|
|
||
|
Kwenye utamaduni huo, mbwa alikua ni mnyama mchafu anayechukiwa. Hapa neno ni lakumshusha mtu hadhi na linamaanisha watu waovu.
|