forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
869 B
Markdown
32 lines
869 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Katika mstari wa 7, Yohana ananakiri kutoka kitabu cha Danieli na Zekaria.
|
||
|
|
||
|
# Kila jicho
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa watu huona kwa macho, neno "jicho" limetumika kuashiria watu. "kila mtu" au "watu wote"
|
||
|
|
||
|
# pamoja na wote waliomchoma
|
||
|
|
||
|
"na wale waliomchoma pia watamuona"
|
||
|
|
||
|
# waliomchoma
|
||
|
|
||
|
Mikono na miguu ya Yesu ilichomwa wakati aliposulibiwa msalabani. Hapa inamaanisha watu wakimuua. "walimuua"
|
||
|
|
||
|
# mchoma
|
||
|
|
||
|
kutengeneza tundu katika
|
||
|
|
||
|
# Alfa na Omega
|
||
|
|
||
|
Hizi ni herufi za kwanza na mwisho katika alfabeti ya Kigriki. Maana zinazowezekana ni 1) "yule aliyeanzisha vitu vyote na anayevileta mwisho vitu vyote" au 2)"yule ambaye alikuwepo na ataendelea kuwepo". "Yeye ni A na Z" au "mwanzo na mwisho"
|
||
|
|
||
|
# ambaye anakuja
|
||
|
|
||
|
Atakayekuwapo baadaye ananenwa kama anayekuja.
|
||
|
|
||
|
# asema Bwana Mungu
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya lugha huweka "Bwana Mungu asema" mwanzoni au mwishoni mwa sentesi nzima.
|