sw_tn/psa/050/016.md

20 lines
844 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Lakini kwa waovu Mungu anasema
Hapa Mungu bado anazungumza na anajizungumzia mwenyewe katika hali ya mtu wa tatu. "Lakini kwa waovu nasema"
# kwa waovu
Neno "waovu" inamaanisha watu waovu kwa ujumla. "kwa watu waovu"
# Una nini na kutangaza sheria zangu ... na kutupa maneno yangu?
Mungu anatumia swali hili kukemea watu waovu. Swali hili linaweza kugeuzwa kuwa kauli. "Haina maana kwamba unatangaza sheria na agano langu, kwa kuwa unachukia maagizo yangu na kutupa maneno yangu." au "Sio sawa kwako kutangaza sheria zangu"
# kwamba umechukua agano langu mdomo mwako
Mungu anazungumzia watu waovu kutongoa maneno ya agano kana kwamba wanaweka agano midomoni mwao. "kuzungumza kuhusu agano langu"
# kutupa maneno yangu
Mungu anazungumzia watu waovu kukataa anachosema kana kwamba walikuwa wakitupa nje takataka. "kukataa ninachosema"