forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
932 B
Markdown
32 lines
932 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Zaburi hii ni wimbo unaofundisha watu.
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Asafu
|
||
|
|
||
|
"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika."
|
||
|
|
||
|
# Mwenye nguvu, Mungu, Yahwe
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anatumia majina matatu tofauti kumzungumzia Mungu.
|
||
|
|
||
|
# akaiita dunia
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "dunia" inamaanisha watu ambao wanaishi duniani. "akawaita watu wote"
|
||
|
|
||
|
# kutoka kuchomoza kwa jua hadi kuzama kwake
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unamaanisha upande wa mashariki, ambapo jua huchomoza, na magharibi, ambapo jua huzama. Mwandishi anatumia tofauti hizi mbili kuwakilisha sehemu zote duniani. "kila sehemu duniani"
|
||
|
|
||
|
# Sayuni, ukamilisho wa uzuri
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana 1) "Sayuni, ambayo uzuri wake ni kamili" au 2) "Sayuni, mji mzuri zaidi."
|
||
|
|
||
|
# Mungu ameng'aa
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni nuru inayong'aa. Hii inamaanisha Mungu kusababisha watu kujua kuhusu utukufu wake. "Utukufu wa Mungu unang'aa kama taa"
|