forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
556 B
Markdown
20 lines
556 B
Markdown
|
# wale wanaotumaini katika mali zao
|
||
|
|
||
|
Watu hawa wanatumaini kuwa mali zao zitawaepusha na mateso.
|
||
|
|
||
|
# kuhusu kiasi cha utajiri wao
|
||
|
|
||
|
kiasi kikubwa cha kitu
|
||
|
|
||
|
# Ni hakika kuwa hakuna mtu
|
||
|
|
||
|
"Hakuna namna ambayo yeyote anaweza" au "Hakuna anayeweza"
|
||
|
|
||
|
# hakuna mtu anayeweza kumkomboa ndugu yake au kumlipa Mungu kwa ajili yake
|
||
|
|
||
|
Misemo yote hii inaeleza kuwa mtu hawezi kumpa Mungu fedha ya kutosha ya kuepuka kifo. "hakuna mtu anayeweza kulipa fedha kwa Mungu ili ndugu yake asife"
|
||
|
|
||
|
# ukombozi wa maisha ya mtu ni gharama
|
||
|
|
||
|
"inagharimu sana kukomboa maisha ya mtu"
|