sw_tn/psa/049/006.md

20 lines
556 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# wale wanaotumaini katika mali zao
Watu hawa wanatumaini kuwa mali zao zitawaepusha na mateso.
# kuhusu kiasi cha utajiri wao
kiasi kikubwa cha kitu
# Ni hakika kuwa hakuna mtu
"Hakuna namna ambayo yeyote anaweza" au "Hakuna anayeweza"
# hakuna mtu anayeweza kumkomboa ndugu yake au kumlipa Mungu kwa ajili yake
Misemo yote hii inaeleza kuwa mtu hawezi kumpa Mungu fedha ya kutosha ya kuepuka kifo. "hakuna mtu anayeweza kulipa fedha kwa Mungu ili ndugu yake asife"
# ukombozi wa maisha ya mtu ni gharama
"inagharimu sana kukomboa maisha ya mtu"