forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
426 B
Markdown
16 lines
426 B
Markdown
|
# mabishano
|
||
|
|
||
|
"kutokuelewana"
|
||
|
|
||
|
# umenifanya kichwa juu ya mataifa
|
||
|
|
||
|
Hapa "kichwa" kinamaanisha mtawala. "umeniweka mimi kuwa mtawala juu ya mataifa
|
||
|
|
||
|
# wageni walilazimika kusujudu
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu aliwalazimisha wageni kusujudu"
|
||
|
|
||
|
# wageni walikuja wakitetemeka
|
||
|
|
||
|
hapa "kutetemeka" inaonesha kuwa walikuwa wanaogopa sana. "wageni walikuja wakitetemeka, wakionesha kuwa walikuwa wanaogopa sana"
|