forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
399 B
Markdown
12 lines
399 B
Markdown
|
# Katika huzuni yangu
|
||
|
|
||
|
"katika hitaji langu kubwa" au "katika kukata tamaa kwangu"
|
||
|
|
||
|
# kilio changu kikaenda katika uwepo wake
|
||
|
|
||
|
Hapa Daudi anazungumzia "kilio" chake kana kwamba ni mtu anayeweza kuja katika uwepo wa Yahwe. "Nikamuomba"
|
||
|
|
||
|
# kikaenda katika maskio yake
|
||
|
|
||
|
Hapa Daudi anazungumzia jinsi Yahwe alivyosikia kilio chake cha msaada. Wazo linarudiwa kwa ajili ya mkazo. "akasikia maombi yangu"
|