forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
690 B
Markdown
20 lines
690 B
Markdown
|
# Yahwe ni mwamba wangu
|
||
|
|
||
|
Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni mwamba. Neno "mwamba" ni picha ya sehemu salama.
|
||
|
|
||
|
# mwamba wangu, boma langu
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno "mwamba" na "boma" zinamaana ya kufanana na zinasisitiza kuwa Yahwe anatoa usalama kutoka kwa adui.
|
||
|
|
||
|
# mkimbilia
|
||
|
|
||
|
Kwenda kwa Yahwe kwa ajili ya ulinzi kunazungumziwa kama kumkimbilia. "kwenda kwake kwa ajili ya ulinzi"
|
||
|
|
||
|
# ngao yangu, pembe la wokovu wangu, na ngome yangu
|
||
|
|
||
|
Daudi anamzungumzia Yahwe kana kwamba ni "ngao," "pembe" la wokovu, na "ngome" yake. Yahwe ndiye anayemlinda na mabaya. Hapa wazo la kufanana linarudiwa kwa njia tatu kwa ajili ya mkazo.
|
||
|
|
||
|
# Nitaokolewa kutoka kwa adui zangu
|
||
|
|
||
|
"Nitaokolewa kutoka kwa adui zangu"
|