forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
610 B
Markdown
28 lines
610 B
Markdown
|
# Mbao za hema
|
||
|
|
||
|
Hizi ni mbao zinazotenegenezwa kwa kuunganisha vipande viwili vya mbao.
|
||
|
|
||
|
# mataruma
|
||
|
|
||
|
Hii ni mihimili inayolifanya jengo kuwa na imara.
|
||
|
|
||
|
# nguzo
|
||
|
|
||
|
Nguzo ni ubao imara unaosimamishwa wima ili kushikilia kitu.
|
||
|
|
||
|
# makalishio
|
||
|
|
||
|
hivi ni vitu ambavyo viliwekwa mahali ambapo nguzo zilisimikwa.
|
||
|
|
||
|
# vifaa vya ujenzi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanishsa kila kitu ambacho kilitumika kwa kuunganishia mataruma, nguzo na makalishio
|
||
|
|
||
|
# pamoja na vigingi vyake
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi "vyake" inamaanisha mihimili na nguzo.
|
||
|
|
||
|
# vitundu, vigingi na kamba zake
|
||
|
|
||
|
Hivi ni vifaa ambavyo vilitumika ili kuunganisha mbao zilizolazwa kwenye nguzo.
|