forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1006 B
Markdown
28 lines
1006 B
Markdown
|
# Fariji, fariji
|
||
|
|
||
|
Neno "fariji" linarudwa kwa ajili ya msisitizo
|
||
|
|
||
|
# asema Mungu wako
|
||
|
|
||
|
Hapa "wako" ni wingi na ina maana ya wale ambao nabii anawaambia kufariji watu wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Zungumza kwa upole kwa Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Nabii anazungumzia Yerusalemu kana kwamba ilikuwa mwanamke ambaye Yahwe alimsamehe. Kwa hiyo, Yerusalemu inawakilisha watu wanaoishi katika mji huo. Zungumza kwa upole kwa watu wa Yerusalemu"
|
||
|
|
||
|
# tamka kwake ...ustawi wake ... udhalimu wake amepokea ... dhambi zake
|
||
|
|
||
|
Viwakilishi nomino vina maana ya Yerusalemu lakini inaweza kubadilishwa kama "watu wa Yerusalemu" inaazimwa kama tafsiri. "tangaza kwao ... ustawi wao ... udhalimu wao ... wamepokea ... dhambi zao"
|
||
|
|
||
|
# ustawi wake
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa ya kwamba neno "ustawi" lina maana ya 1) kwa vita ya kijeshi au 2) kwa kazi ya kulazimishwa.
|
||
|
|
||
|
# udhalimu wake umesamehewa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Yahwe amesamehe udhalimu wake"
|
||
|
|
||
|
# kutoka mkononi mwa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mkono" inawakilisha Yahwe mwenyewe. "kutoka kwa Yahwe"
|