forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
767 B
Markdown
28 lines
767 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ktika nukuu hii nabii Yeremia alikuwa amesema agano jipya ambalo Mungu angefanya
|
||
|
|
||
|
# na watu
|
||
|
|
||
|
"na watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# Angalia
|
||
|
|
||
|
"Tazama" au "Sikiliza" au "Kuwa na tahadhari kwa lile ninalotaka kuwaambia."
|
||
|
|
||
|
# Siku zinakuja
|
||
|
|
||
|
Ziku zijazo zinaongelewa kana kwamba zinatembea kumkabiri mzungumzaji. AT:"ktakuwa na wakati"
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli na watu wa Yuda wanaongelewa kana kwamba wao ni nyumba. AT:"watu wa Isareli na watu wa Yuda"
|
||
|
|
||
|
# Niliwachukua kwa mkono na kuwaongoza kutoka katika ardhi ya Misri.
|
||
|
|
||
|
Picha inawakilisha upendo mkuu wa Mungu na kujali kwake.
|
||
|
|
||
|
# hawakuendelea katika katika agano langu
|
||
|
|
||
|
Kutii agano la Mungu kunaongelewa kana kwamba mtu alipaswa kuendelea katika hilo. AT: "hawakutii agano langu"
|