forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
335 B
Markdown
16 lines
335 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
|
||
|
|
||
|
# kilemba
|
||
|
|
||
|
kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.
|
||
|
|
||
|
# mshipi
|
||
|
|
||
|
Mshipi ni kipande cha kitambaa ambacho mtu anavaa kwenye kiuno chake au kwenye kifua.
|
||
|
|
||
|
# kazi ya mwenye kutia taraza
|
||
|
|
||
|
Mtia taraza ni mtu anaye shona michoro kwenye kitambaa.
|