sw_tn/zec/14/16.md

13 lines
229 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla:
Mistari hii inaelezea vita ya mwisho kwa mji wa Yerusalemu na jinsi Mungu atakavyouokoa
# akaenda kinyume cha Yerusalemu
"Iliyoishambulia Yerusalemu"
# itashambulia mataifa
"itaadhibu mataifa kwa ukali"