forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
580 B
Markdown
25 lines
580 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
mfana kuhusu wachungaji na kondoo unaendelea.
|
||
|
|
||
|
# kondoo walioamriwa kuchinjwa
|
||
|
|
||
|
"kundi la kondoo waliokuwa wamekusudiwa kuchinjwa"
|
||
|
|
||
|
# gongo
|
||
|
|
||
|
gongo ni miti inayotumika kwa makusudi mbalimbali, ikiwemo kuwaongoza watu. Yaweza kuwa na aina mbalimbali za ncha.
|
||
|
|
||
|
# upendeleo
|
||
|
|
||
|
Matoleo mbalimbali yanafasiri neno la Kiebrania katika mazingira haya kama "neema" na "uzuri"
|
||
|
|
||
|
# Umoja
|
||
|
|
||
|
Hili ni wazo la udugu kati ya sehemu mbili za Israeli, ufalme wa kaskazini na ufalme wa kusini.
|
||
|
|
||
|
# sikuwavumilia tena
|
||
|
|
||
|
"Sikuweza kuwavumilia tena wenye kondooo waliokuwa wamewaajiri"
|
||
|
|