forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
564 B
Markdown
21 lines
564 B
Markdown
|
# Nitapita katika bahari ya mateso yao
|
||
|
|
||
|
Maandiko mara nyingi urejerea bahari kama picha ya shida na magumu mengi.
|
||
|
|
||
|
# na nitavikausha vilindi vyote vya Nile
|
||
|
|
||
|
"Nitaufanya Mto Nile kukauka"
|
||
|
|
||
|
# Utukufu wa Ashuru utashushwa chini
|
||
|
|
||
|
Hapa "utukufu wa Ashuru" pengine unamaanisha jeshi la Ashuru.
|
||
|
|
||
|
# na fimbo ya Misri itakwenda mbali kutoka kwa Wamisri
|
||
|
|
||
|
"na nguvu ya Misri kutawala mataifa mengine itakwisha."
|
||
|
|
||
|
# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki mara kwa mara kinafasiriwa kama "asema Yahwe" Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.
|
||
|
|