forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
409 B
Markdown
17 lines
409 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anamwonesha ono Zakaria
|
||
|
|
||
|
# Je! hiki si kinga kilichotolewa motoni?
|
||
|
|
||
|
"Yoshua ni kama ukuni uliotolewa motoni"
|
||
|
|
||
|
# kinga kilichotolewa motoni
|
||
|
|
||
|
Kinga ni kipande cha ukuni uwakao kinachotolewa motoni kabla hakijaisha. Hii inamrejerea Yoshua, aliyeokolewa kutoka mateka ya Babeli na kurudi Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# mavazi machafu
|
||
|
|
||
|
katika ono hili mavazi yanatumika kama alama ya kuonesha dhambi.
|
||
|
|