forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
644 B
Markdown
25 lines
644 B
Markdown
|
# Lakini ikiwa ni kwa neema
|
||
|
|
||
|
Paulo anaendelea kuelezea namna neema ya Mungu inavyofanya kazi. "kwa kuwa neema ya Mungu inafanya kazi kwa rehema"
|
||
|
|
||
|
# Ni nini basi?
|
||
|
|
||
|
"Tuhitimishe vipi?" "hivi ndivyo ambavyo tunapaswa kukumbuka."
|
||
|
|
||
|
# Mungu amewapa roho ya ubutu, macho ili wasione, na masikio ili wasisikie
|
||
|
|
||
|
Huu ni ufafanuzi kuhusu ukweli kwamba niwabutu kiroho. Hawana uwezo wa kuona na kusikia ukweli wa kiroho.
|
||
|
|
||
|
# Roho ya
|
||
|
|
||
|
Hapa inamaanisha "kuwa na tabia za" mfano "roho ya hekima."
|
||
|
|
||
|
# Macho ili wasione
|
||
|
|
||
|
Kuona kwa jicho moja ilichukuliwa kuwa sawa na kupata uelewa.
|
||
|
|
||
|
# Masikio ili wasisikie
|
||
|
|
||
|
Kusikia kwa masikio ilichukuliwa kuwa sawa na utii.
|
||
|
|