forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
226 B
Markdown
9 lines
226 B
Markdown
|
# Kama ningesema, "Hakika giza litanifunika
|
||
|
|
||
|
Mwandishi wa zaburi anazungumzia usiku kana kwamba ni blangeti inayoweza kumfunika.
|
||
|
|
||
|
# Usiku utang'aa kama mchana
|
||
|
|
||
|
Usiku, ambao ni giza, unazungumziwa kana kwamba unang'aa mwanga.
|
||
|
|