sw_tn/psa/135/003.md

13 lines
266 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# kwa kuwa ni vyema kufanya hivyo
"kwa sababu tunapata raha kwa kulisifu jina lake"
# Yahwe amemchagua Yakobo
"Yakobo" hapa inamaanisha uzao wake, watu wa Israeli. "Yahwe amewachagua uzao wa Yakobo"
# Israeli kama mali yake
"ameichagua Israeli kuwa mali yake"