forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
348 B
Markdown
13 lines
348 B
Markdown
|
# amri zako za agano zinisaidie
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungimzia amri za Yahwe kana kwamba ni mtu anayeweza kumsaidia. "naomba nisikilize amri zako za haki ili niwe na hekima na thabiti"
|
||
|
|
||
|
# Nimezurura kama kondoo aliyepotea
|
||
|
|
||
|
"nimeacha njia yako kama kondoo aliyeacha kundi lake"
|
||
|
|
||
|
# mtafute mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu mimi ni mtumishi wako, njoo unitafute"
|
||
|
|