forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
530 B
Markdown
17 lines
530 B
Markdown
|
# Nashilia amri zako za agano
|
||
|
|
||
|
Kuzishikilia kwa nguvu inamaanisha kuwa na nia ya kuzitii. "Ninashikilia kwa nguvu amri zako za agano" au "Nina nia ya kutii amri zako za agano"
|
||
|
|
||
|
# amri za agano
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha sheria za Musa.
|
||
|
|
||
|
# Nitakimbia katika njia ya amri zako
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia kuwa makini au kuwa na nia ya kutii amri za Mungu kana kwamba mtu anakimbia katika njia. "Nitakuwa na nia ya kutii amri zako"
|
||
|
|
||
|
# unaukuza moyo wangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. Maana zinazowezekana ni 1) "unanisaidia kupata uelewa mkubwa wa amri zako"
|
||
|
|