forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
563 B
Markdown
17 lines
563 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Zaburi ya Daudi
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Keti mkono wangu wa kuume
|
||
|
|
||
|
Msemo "mkono wangu wa kuume" unamaanisha sehemu ya heshima. "Keti sehemu ya heshima niliyokuandalia"
|
||
|
|
||
|
# niwaweke adui zako chini ya miguu yako
|
||
|
|
||
|
Hapa Dauddi anamuelezea Yahwe kuwaweka adui wa bwana wake chini ya uwezo na mamlaka yake kama kuwaweka chini ya miguu yake. "umewaweka adui zako chini ya uwezo wako"
|
||
|
|