forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
312 B
Markdown
13 lines
312 B
Markdown
|
# Tangazeni utukufu wake katika mataifa
|
||
|
|
||
|
"Waambie watu katika kila taifa kuhusu utukufu wake mkuu"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe ni mkuu na ni wakusifiwa sana
|
||
|
|
||
|
"Yahwe ni mkuu. Msifuni sana" au "Yahwe ni mkuu, na watu wanapaswa kumsifu sana"
|
||
|
|
||
|
# Yeye ni wa kuogopwa zaidi ya miungu mingine yote
|
||
|
|
||
|
"Mcheni zaidi ya miungu mingine yote"
|
||
|
|