forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
579 B
Markdown
17 lines
579 B
Markdown
|
# huzungusha kambi
|
||
|
|
||
|
Malaika wa Yahwe anazungumziwa kana kwamba alikuw ani jeshi linalozungusha kambi kwa mtu ili kuwalinda. "hulinda"
|
||
|
|
||
|
# Onjeni mwone Yahwe yu mwema
|
||
|
|
||
|
Wema wa Yahwe unazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kuonjwa na kuonwa. "Jaribuni na mwone kuwa Yahwe ni mwema"
|
||
|
|
||
|
# anaye mkimbilia
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumziwa kana kwamba ni sehemu ambayo watu wanaweza kujificha kwa ajili ya ulinzi kutoka kwa adui zao. "mwamini kuwalinda"
|
||
|
|
||
|
# Hakuna upungufu kwa wale wanaomcha yeye
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali chanya. "Wale wanaomcha daima watakuwa na kile wanachohitaji"
|
||
|
|