forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
1.0 KiB
Markdown
41 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Daudi anawazungumzia adui zake
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa hakuna ukweli midomoni mwao
|
||
|
|
||
|
Ukweli kuwa midomoni mwao inamaanisha kuongea ukweli. "Kwa kuwa huwa hawasemi ya kweli"
|
||
|
|
||
|
# utu wao wa ndani ni uovu
|
||
|
|
||
|
Utu wao wa ndani inamaanisha mawazo ya watu na tamaa zao. "mawazo yao na tamaa ni mbaya"
|
||
|
|
||
|
# koo yao
|
||
|
|
||
|
Koo inaashiria maneno ya watu. "maneno yao" au "kile wanchosema"
|
||
|
|
||
|
# koo yao ni kaburi lililo wazi
|
||
|
|
||
|
Koo yao inazungumziwa kana kwamba ni kaburi lililo wazi, tayari kwa ajili ya maiti kuwekwamo. Maana zinazowezekana ni 1) "wanasema watawaua watu" au 2) "Wanachosema huua watu"
|
||
|
|
||
|
# wanijipendekeza na ulimi wao
|
||
|
|
||
|
"wanasema vitu vizuri kuhusu watu wengine bila kumaanisha"
|
||
|
|
||
|
# ulimi wao
|
||
|
|
||
|
Ulimi unaashiria kile wanachosema watu.
|
||
|
|
||
|
# njama zao ziwe anguko lao
|
||
|
|
||
|
"njama zao ziwasababishe kupitia maafa" au "wapunguze umuhimu wao kwa sababu ya njama zao"
|
||
|
|
||
|
# njama
|
||
|
|
||
|
mipango ya kuwadhuru watu
|
||
|
|
||
|
# anguko
|
||
|
|
||
|
Hili ni jambo linalowafanya watu kupitia maafa na kupoteza nguvu. Kupitia maafa au kupoteza umuhimu inazungumziwa kama kuangaku.
|
||
|
|