forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
873 B
Markdown
25 lines
873 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Daudi anaimba sehemu hii ya wimbo kana kwamba anazungumza na adui zake.
|
||
|
|
||
|
# Nyie watu, mtageuza heshima yangu kuwa aibu hadi lini?
|
||
|
|
||
|
Daudi anatumia swali hili kuwakemea adui zake. "Nyie watu mnaendela kugeuza heshima yangu kuwa aibu!"
|
||
|
|
||
|
# mtageuza heshima yangu kuwa aibu
|
||
|
|
||
|
Kumwaibisha badala ya kumheshimu inazungumziwa kama kuifanya heshima yake kuwa aibu. "kuniaibisha badala ya kuniheshimu" au "kuniletea aibu badala ya kuniletea heshima"
|
||
|
|
||
|
# Hadi lini mtapenda kile kisicho na dhamani na kutafuta uongo?
|
||
|
|
||
|
Daudi anatumia swali hli kuwakemea adui zake. "Mnaendela kupenda vitu visivyo na dhamani na kutafuta uongo."
|
||
|
|
||
|
# mtapenda kile kisicho na dhamani ... kutafuta uongo
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili inamaana ya kufanana. Uongo hauna dhamani. "mtapenda uongo usio na dhamani"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe anawatenga watauwa kwa ajili yake
|
||
|
|
||
|
"Yahwe anawachagua watauwa kwa ajili yake"
|
||
|
|