forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
390 B
Markdown
17 lines
390 B
Markdown
|
# Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno
|
||
|
|
||
|
"kama ambavyo ingekuwa ni ajabu kuwa na theluji wakati wa joto na mvua kipindi cha mavuno "
|
||
|
|
||
|
# hivyo laana isiyositahili haishuki
|
||
|
|
||
|
laana ambayo haimdhuru mtu imeongelewa kana kwamba ni ndege ambaye hatui."laana isiyositahili haitui mahali pake"
|
||
|
|
||
|
# laana isiyositahili
|
||
|
|
||
|
"laana kwa mtu ambaye haimstahili"
|
||
|
|
||
|
# shuka
|
||
|
|
||
|
tuajuu ya mtu au kitu
|
||
|
|