forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
471 B
Markdown
25 lines
471 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
||
|
|
||
|
# kale
|
||
|
|
||
|
ya zamani sana
|
||
|
|
||
|
# jiwe la mpaka
|
||
|
|
||
|
jiwe kubwa ambalo linaonesha ardhi ya mtu mwingine inapokomea na mwanzo wa ardhi ya mtu
|
||
|
|
||
|
# baba
|
||
|
|
||
|
wahenga
|
||
|
|
||
|
# je unamwona mtu mwenye ujuzi katika kazi yake?
|
||
|
|
||
|
"fikiri juu ya mtu unayemfahamu mwenye ujuzi katika kazi yake"
|
||
|
|
||
|
# simama mbele
|
||
|
|
||
|
huwa ni mtumishi wa wafalme na watu wengine wenye vyeo watamtazama kuwa wenye hadhi ya juu na kuhitaji uduma yake.
|
||
|
|